Riego Solo (28), mkazi wa Mbezi ya Tangi Bovu, Dar es Salaam anadaiwa
kuchomwa kisu kwenye koromeo katika jaribio la kuchinjwa na mgoni wake
aliyejulikana kwa jina moja la Jacob akiwa katika harakati za kumzengea
mkewe.
Taarifa zilizopatikana katika eneo la tukio zinadai kwamba, Solo alivamiwa na mgoni wake huyo hatua chache toka nyumbani kwake ambapo wananchi walimsaidia baada ya kupiga kelele na walipofika eneo la tukio walimkuta akitokwa na damu huku akihangaika chini.
Taarifa zilizopatikana katika eneo la tukio zinadai kwamba, Solo alivamiwa na mgoni wake huyo hatua chache toka nyumbani kwake ambapo wananchi walimsaidia baada ya kupiga kelele na walipofika eneo la tukio walimkuta akitokwa na damu huku akihangaika chini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni